Jumatano, 8 Februari 2017

UMOJA WA WAHADHIRI WAKIISLAM TANZANIA (UWAKTA)

. . السلام عليكم ورحمة الله وبركاته

Umoja wawahadhiri wakiislam tanzania
(UWAKTA)

Una waalika waislam wote katika kongamano la kumbu kumbu na dua juu ya ma shujaa wana harakati wa da.wa na tukio la mwembe chai  lililo ibua historia  kubwa katika harakati za dini tukufu ya uislam nchini

Lengo la kongamano hilo

Ni kuwakumbuka mashujaa walio husika katika tukio lamwembe chai nakuwaombea dua mashekh wetu walio tangulia mbele za haq   

Pia kuzungumzia qadhia ya mashekh na wanaharakani walioko matesoni magerezani na kwingineko

Shime alayku wailam  tuhudhurie kwawingi

Kongamano lita fanyila
Tare 12 mwezi wa 2 mwaka huu 2017
Itakua siku ya juma pili. Litafanyikia
Msikiti wa mwembe chai TIC

Wageni kutokanchi za jirani wataanza kupokelewa j mos

Pia wahadhir wakubwa wahapa nchini  watakuwepo 
Na uongozi mzima wa Umoja wawahadhiri wakiislam Tanzania (uwakta)

Nyooote mna karibishwa


Share na wengine wapate taarifa hii sambaza katika mitandao ya kijamii

Maoni 3 :

  1. Je uta fika wewe ???? Katika siku hiyo

    JibuFuta
  2. Inshallah tutajitahidi.

    Naomba kuuliza vipi unaweza kuwa mwanachama kwenye umoja hu

    JibuFuta