Jumamosi, 25 Februari 2017

Mungu wangu hajaniacha 7

Mungu wangu hajaniacha 7

Ilipo ishia 6

nikapikaa ugali mboa zikaivaa nikapakua wa mama nikauweka chini ya meza nasisi.      tukaanza kula wakati tunakula ghafla nikaskia.......

Sasa endelea Shem ya 7

Nikaskia mlango ukigongwa kwanguvu kufungua niyule kijana alo poteza ela yake kaskia nimeipata kaifuata kwakua nilimuogopa nikampa iliopo 455 na maelezo ya kutosha akaridhika na kuondoka si tukaendelea na msosi

Jioni yake mama alipo rudi alistaajabu na kunisifia kua naweza kuwahudumia wadogo zangu hata kama yeye hayupo.    Pia mama aliongeza kua anaandaa safar ya arusha tukamsalimie bibi mzaaa mama
Jumatatu sikuenda shule mama alihangaika kutafuta uhamisho maana alitaka tukakae nikasome kule hatimae j5 ilifika tukapanda tashrif   kwamara yangu yakwanza napanda bas kubwa LA mkoa bas lili kimbia vumbi lilitawala ndani utadhani tulipishana na mifugo lakin no Barbara ndo haikujengwa majira ya SAA kumi jioni tulifika arusha mjini hapo nilimskia mama akiuliza @samahan baba hari za ngaramtoni ya juu ziko wapi@ usijali mamaaa fuata njia hiii ukifika mbele uliza kilombero@ baada ya maelekezo hayo tulitembea mama hakitaka kuuliza tena hivyo tulizungukaa badae tukaona gari ndogo haic nyingi huku kelele za makondakta zikisikika.   Usarivaa wengine ungalimited wengine ngara kila moja alitaja eneo tofauti Mara tukaona gari imeandikwa ngaramtoni ya juu tuka panda tuka kaa     gari ilianza safar gari ilisimama Mara kadhaa watu wakishuka vituo nlivyo kumbuka waloshuka watu ni sakina+kwa idy+ njiangombe+. Hatimae kibaoni hapo tulishuka  na gari ikaondoka  tukachkua bodaboda mbili tukaingia kushoto dakika tano tulishushwa mbele yanyumba ya mabati ilio ezekwa bati chini mpaka juu       hapo walio mjua mama walimpokea tukaingia katika major yanyumba hizo lakin nje karibu na jalalani palikua na bibi amesimama alituona lakin hakusogea pale alipo kama MTU alie kua katika ibada huku aliimba nyimbo ambayo binafs nilijiuliza maswali sikupata majibu muda wote nilikua nikitega skio kwani sauti ya bibi huyo ilikua tam hatimae nika inasa nyimbo aliimba hivi
@ staki madhambi staki madhambi staki madhambi# siiitaaaakiiii dhambiiii napiiiiingaaa dhaaambi taaaaakiii dhambi 'taki madhambi taki madhambi napinga  napiiiiiiingaaaa dhambi

Alirudia sana nyimbo  hiyo

Mwisho nkapata swal lakumuuliza mama

@eti mama yule pale ni kichaaa ee@  mama akanijibu shhhhh
Kugeuka nyuma nikamuona yupo nyuma yangu na chuma kubwa nikaogopaaa

Itaendelea sehem 8

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni