Ijumaa, 17 Februari 2017

Mungu wangu haja niacha 5

. MUNGU WANGUHAJA NIACHA 5

Ilipo ishia sehemnya 4

mbele yangu ni kamuona jirani wa baba yako nika muuliza @mama neema kime mkuta mwangu@ akanivuta pembeni na kuanza kuniambia

Itaendelea sehem ya 5






Sasa endelea

Mwanao alipo toka shule akaingia ndani sisi hatujui kilicho endelea ndani  muda tu mama yake mdogo alitoka haikupita mda tukaskia MTU ana koroma ndani tukaogopa tulipo ingia tukamkuta Jumanne akitupa miguu na mikono povu lime mjaa mdomoni    sisi tulikua wanawake watupu tuka sh indwa kumsaidia ikabidi tuwaite vijana wakambeba na kumleta hospitali hayo ndo nnay yajua. Alisema mama neema @ hapo nikawaza nini chakufanya nikarudi wodini nikakutizama akili iianijia tu ntoke nkatafute maziwa .wakati natoka mama hamza (mama yako mkubwa yan Dada yangu) nae akaja nikamuagiza naziwa lakini sikuweza kumsubiri nami nkatoka iilikua nikaz kuyapata lakin nika fanikiwa  nikaja haraka na kuku nywesha japo meno yalikua ya me umana lakin nilifanikiwa kuya achanisha hatimae maziwa yakapata nafas yaliingia kama mahi yanavyo ingia mtungini nusu Lita ikaisha hakuna dalili yeyote nakir sikujua kwanini nakupa maziwa na sijui nilitarajia nini ilikua ni roho fulan iko ni sukuma   wakati nime KATA tamaa maana maziwa yameisha bila dalili yetote jicho bado jeupe mapigo yamoyi yamesimama mwili umeka baridi machozi yalikua yakinibubujika kama bomba zamaji wagonjwa na walio ni tizama walisikika maskioni mwangu wakisema @mwachen kachanganyikiwa na mwanae aki thibitisha kua kafa au waiteni ma docta waupeleke mwili mochwari @ hapo nikashtuka nilipo skia mochwari nikaogopa Mara Dada nae akafika na maziwa nlo muagiza nikayachukua bila neno nika kunyweshaa yoote bila kubaki Mara madocta nao wakafika @mama tafadhali huyo kesha kufa hatakiwi kuwapo hapo @ ghalfla nikapata ujasiri hasa nilipo kumbuka kua mafundisho ya din yanasema pale unapo kufa INA maanisha na rizki zako ya dunuani Imeisha bas hata upewe nin hakito pita kinywani ...kumbukumbu hizo zikinifanya niamin mwanagu hajafa mbona maziwa Lita nzima imeingia mwilini mwake inamana bado you hai wakati nataka kusema neno na sijui nilitaka kusema nini mbele ya madocta
ghafla nika skia chafya nika geuka  nika kutizama usoni nikaskia tena chafya kutoka katika kinywa chako ukaananza na kukoroma hapo watu wooote na madocta wakaanzaaa

Itaendeleaa sehem 6

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni