Ijumaa, 17 Februari 2017

Mungu wangu hajaniacha 6

MUNGU WANGU HAJANIACHA 6

Iilipo ishia sehem ya 5

ghafla nika skia chafya nika geuka  nika kutizama usoni nikaskia tena chafya kutoka katika kinywa chako ukaananza na kukoroma hapo watu wooote na madocta wakaanzaaa

Itaendeleaa sehem 6

Kushangaa kwani waliamini tayari ushakuafa    nikajikuta napata ujasisiri wahali ya juu na ghafla nika nyanyuka na kuju tizama @haya mama una bahati sogea sasa@ alisema docta mmoja nami kwa ujasiri nikamjibu@tafadhali niachieni ntawaita @hapo madocta bila kujibu wakondoka
Nilipo kutizama ndipo nika gundu kuna kitu unataka kukitapika lakin kinarudi ndani hapo nika chukua kanga yangu ni kaiviringisha mfano wakamba nikaingisha kinywani mwako hadi kwenye koo nilipo vuta ilitika na mlenda lakin ukiwa na ranging nyeusi kama ya mkaaa nika rudisha tena hapo nikatoa tenalend mweusi wakati huu ulikua watoka kama kamba ilio tumbukia tumboni nilifanya Kai hiyo kwa dakika zaidi ya 20 muda hakuna kicho toka nikaami ghasia zoote zatumboni nsha zitoa.  Kwambali nikaona mwili wako una pata moto nilipo weka mkono kifuani kwako nikagundua mapigo ya moyo tana piga kwa kasi  hapo nikaita @doctaaaaaaaa@sauti haikua kubwa lakin watu walio nisikia walinisaidia kuita muda tu madocta wakafika walipo kuti zama ana kukushishika hapo nikaskia docta akisema @leteni drip LA maji @kauli hiyo ikinipa moyo sana naada ya kutundukiwa drip ya maji docta mmoja akasema kwasauti @jamani kuam bina damu wanaroho mbaya sana ni sawa na wachawi@ kisha akanigeukia mimi nakunambia @mama usimuache mungu wako maana AME kusaidia @nami nikamkijibu   @nikweki docta nakiri namimi kua. MUNGU WANGU HAJA NIACHA. Amekua nami nandio kawa rafiki wakweli kwangu kanipa moyo watu  walipo nikatisha tamaa

Baada ya hapo ulikaa Sikh tatu bila faham hatimae uka pata faham alhamdu lillahi

Mama ali maliza stori kwa upande wake  hapo nikaelew kwanini mi nilikua hospitali
Ila katila kumbu kumbu zangu nilikumbuka sana mda mchache kabla ya hali ile kutokea kua chanzo ni mboga ya mchuzi wanyama nilio imba sasa picha yote ya ubaya wa mama mdogi ilinijia usoni machozi ya litiririka

Mwaka mmoja baadae

Nilikua darasa LA tatu dhiki shida nataabu zilituandama baba hakua na msaada wowote kwetu mama alijihangaikia mwenyewe kwa biasharandogo ndogo sokoni wakati mwingine sikuenda shule nikamsaidia mama biashara niliuza ndizi viazi asubui hatula chochote macha na na na usiku tulijunywa uji pesa ilikua ngumu kupata japo ilikua na thamani maana kipindi hiko ilikua ni awamu ya pili ya utawala wa mwinyi

Nakumbuka sikumosh 

Ikilikua j pili.  Majira ya SAA name mchana nikiwa nyumbani njaa inauma wadogo zangu wamelala kW uchovu was njaa nikaamua kutoka nje na kutembea tembea nikapoita nje katka nyumba moja jirani anako ish nwanafunz mwenzangni nikaona mabox mawili makubwa ya TV yametupwa jalalani nilipo kaza macho   katika box moja lililo kua wazi nikaona karatas nililo his kua ni hela nikasoge nakulichukua naaam ilIkua ni sh 1000 elf moja yakaratasi hapo. Moyo ukaenda mbio nika ichukua sikujiuliza nikaanza mbio had I nyumbani nipo fika nikamkuta mdogo wangu wakiume Amalia nikauliza mini nkaambiw njaa nami kwaujasir nkawaambia @subirini nakuja sasa iv na BONGE LA saprais@hapo nikaondoka hadi katika duka LA shayo shop niaanza kuagiza 


@shayo nipe Unga dona kilo moja sh 75 sabini Nagano NAFTA ya mboga kijiko kimoja 25ishirini na tano mafta ya taa yakuwashia moto ya 30 thelathini kiberiti kimoja sh 15 kumi Natano

Kisha nikalipa nikasigea kibandani kwa mama shayo nako nika nunua dagaa was sh150 mia na hamsini nyanya na vitunguu vya mia 

Hapo jumla nkawa nimetumia sh 295 miambili na tisini na tano nikabakiwa na  sh705 nika lipa deni alokua akidaiwa mama LA sh mia nikabakiwa na 605 nikanunua mkaa was miana hamasini150 ikabaki 455 nikaenda nyumbani nikapikaa ugali mbiga zikaivaa nikapakua was mama nikauweka chini ya meza nas tukaanza kula wakati tunakula ghafla nikaskia...


Itaendelea sehem ya 7

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni