Jumatano, 15 Februari 2017

UFAHAMU +UMOJA WAWA HADHIRI WAKIISLAM TANZANIA

UMOJA WAWAHADHIRIbWAKISLAM TANZANIA
Kwaufupi (UWAKTA)

Nitaasisi yakislam ilio anzishwa na wahadhiri wakiislam watanzania

Ndugu mwislam
Tukirudi nyuma kifikra tuka kumbuka kua asilimia kubwa ya wale mashekh walio tupa mwanga wa kazi hii ya kufanya mihadhara wengi wao washa tangulia mbele za haq
(Allah awarehemu huko waliko)

Kazi ikabaki Nikonini mwa wale walio jifunza zani na sasa
Kazi hii ilifaana sana kutoka ilipo anzishwa mpaka miaka ya 2005

Ambapo kazi hii ilianza kupata misukosuko ya wazi kama kukamatwa kwa wahadhiri na kutiwa ndani kunyimwa vibali na k:

TUKUMBUKE FAIDA ZA MIHADHARA ambayo asili yake ni vitabu vinne (torat zaburi injili na qur.an)

Ilifanya vazi LA kanzu kuheshimiwa mpaka sasa nikawaida kumuona MTU akiwa ofisini na kanzu na kofia

Mtiririko was waislam wanao ritadi kwakuuacha uislam kwa miujiza au msaada pia ulipungua kutokana na na ukweli ulio simamiwa na wahadhiri
Nihayo na mengine mengi ambayo mihadhara ya kiislam ilikua ni sababu ya kufahamika

KUPUNGUA KWA NIHADHARA
YA VITABU VINNE KWASASA

Hii INA sababishwa na mabadiliko ya utendaji wamihadhara hiyo wahadhir wengi sasa kufanya mihadhara inayo wahusu waislam tu kiitikadi hivyo kupungua ufanisi wamihadhara ya vitabu vinne   walimu wamihadhara hiyo kutoweka dunian wakati vijana wano takiwa kujifunza mijadala hiyo wakowa bize a maslahi ya dunia tu

KUTIZAMWA TOFAUTI KWA WAHADHIRI NAWAISLAM

Hali ya zamani na sasa nitofaut kwa wahadhir wakiislam. Zamani wahadhiri walikubalika mbelebya waislam waliitwa mahala wanapo hitajika walichangiwa gharama za uendeshaji mikutani bila lawama waliheshimika mahala walipo onekana  heshma yao ilikuwa kubwa matamko yao yaliheshimiwa na waislam Tanzania. Waliaminiwa nakusikilizwa kila mahala mihadhara ya wahadhiri ilijaa watu kwa matangazo machache tu wakati mwingine matanagazo hayakufanyika lakin watu walijaa viwanjani

LEO HII

Wahadhiri wengi wajazaraulika ispokua wachache. Mihadhara ili iwe na watu wengi matangazo yafanyike sana magari ya pite vipeperushi na na hata vipindi vya redio na TV pia matangazo ya dizainiwe ili ya waguse watu. Wakati zamani walipo sema kutakuana kuhadhara maeneo Fulani wahadhiri fulani watakuepo ili tosha  ni tofauti na sasa   
Imefikia wakati ukijulikana wewe ni mhadhiri nafas msikitini hupewi

Baada yawa hadhiri wanao jitambua kulitizama hili wakagundua

Baadhi ya watu hukurupuka kufanya mihadhara jali hawana elimunayo

Pia watu wanaharibu mazingira ya dini kwa nembi ya uhadhiri

Wengine kukosa kujua kanuni za kazi hiii hivyo kuifanya kimakosa
Pia kutoweka kwa ikhlaswi kwa wahubiri wengi

NDIPO

Wahadhiri wakiislam wakaamua kuanzisha taasisi hii ya (UWAKTA))

Lengo

Ni kurejesha hadhi ya uislam kupitia mihadhara

Kurejesha hadhi ya mihadhara ya kiislam

Kudhibiti wanao haribu dini kwa nembo ya uhadhiri
Kuwadhibiti hata wahadhiri wano haribu kwa  kua na Uhuru ulo pitiliza

Pia kuhakikisha waislam wana pata faida zitokanazo na mihadhara na wahadhiri

Iki lengi lingine LA taasisi hii ni

Kuandaa miradi itakayo saidia kujenga shule na vyuo vyakielimu

Hospitali kwajili ya tiba  zakisheria

Ajira kwa vijana na wazee

Ili kukamilisha hayo

Taasisi ya Umoja
Ikiongozwa na viongozi mahiri

Pamoja na amiir shekh raajabu juma alqushairiya

Ina utaratibu

Wakusajili wahadhiri woote Tanzania na nyadhifa zaobna aina ya harakati zao

Nakutoa vitambulisho kwa wahadhiri hao 

Hii itasaidi kufaham nchi yetu ina wahadhir wangapi

Pia akipata tatizo mmoja wetu kufaham kiurahisi

Na kusaidiana pia

Umoja itashirikiana na taasisi zingine zakiislam kukamilisha malengo


Hii nisehem ya kwanza inayo uhusu Umoja wawahadhir wakiislam Tanzania

Utazidi kupata taarifa zaidi inshaallah

Tafadhali toa maoni yako hapa chini  juu  ya namna ulivyo elewa



Maoni 1 :

  1. Nadhani amiir raajabu umekua MTU wakwanza kuipitia hii acha neno hapa chini inshaalla

    JibuFuta