Jumatatu, 27 Februari 2017

Mungu wangu hajaniacha 8

. MUNGU WANGU HAJA NIACHA 8

Ilipo ishia

@mama yule ni kichaa ee@mama akanambia shhhhhh. Kugeuka nikamuona yupo nyuma yangu na chuma kubwa. Nikaogopa ..    Akaliweka chuma hilo mlangoni kuzuia mlangu usijifunge kisha wakaanza kuslamiana na mama kwa furaha hatimae tuka tambulishwa kua ndio bibi mzaa mama huyo tukajuzwa na ndugu wengine pia

Tulianza maisha ya arusha kwa shida mama alianza kwa biashara ndogo ndogo  hatimae akazoea akapata kazi katka kampuni moja inayo Lima kahawa iliitwa MANYARA campany.. Kampuni hiyo ilijenga nyumba nyingi zakuishi wafanaya kazi mama alifanikiwa kupata kazi katika kampuni hiyo na nyumba ya kuiahi ya viumba viwili na sebule nami nikafanikiwa kupata shule

Kwaupande wangu mwanzo nlipata shida maana shule ilikua mbali sana kias cha kutembea saanzima ndo nifike shule nilikereka kwani singinda nilitembea dakika tano nakuingia shuleni.   Lakin sikua na budi nikaendelea na shule   maisha ya arusha yalikua na nafuu kidogo    hatukulipa kodi  na kazi zilikua za uhakikka kwani kaha ndio ilikua msimuwake   ilikua wafanya kazi woote mkifika mashambani mnakatiwa miraba kwajili ya kuvuna kahawa zilo iva na kuacha mbichi.  Kadri una vyo vuna ndio kipato kinaongezeka. Kwani ilihesabiwa kila ujazo was sado moja unalipwa kia NNE hapo sasa uwezo wako mama yangu aliweza mpka sado 6 na siku nilio enda kumsaidia had I sado 11 zilifika  maisha ya liendelea

Mwaka mmoja baadae.

Nikiwa darasa LA NNE  ahule ya msingi ndurumeti ninayo soma arusha walinizuia kufanya mtihani wa kuhama darasa kutoka lanne kwenda la tano       wakasema.   Wakati nakuja nilichukuliwa cheti chmda sio chamoja kwamoja        hivyo nirudi singida katka shule yangu ya awali nikafanye mtihani.  

Taarifa hizo mama alizipokea kwa unyonge sana  hakua na lakufanya kwani singida Alisha hama kabisa    nilikaa Siku kadhaa bila kwenda shule   hatimae mama akapata wazo na kuniandalia safari nirudi singida   niende hadi kwa baba

Tulikua kama watu tulo sahau yalo tokea hatuku ya waza kabisa .
Safari iliwadia nikiwa na barua yangu nlotoka NATO arusha nikaiahika madhubuti na safari ikaanza kwa tashrifu hadi singida

Singida tena kwamama wakambo

Nilifika singida jioni nakumkuta Mamdogo make wabab akiwa nyumbani alinipokea vizuri tukapiga stori za arusha  akanipa chakula nikala  akaniomba barua nlokuja nayo aihifadhi nikampa   jioni baa alirudi nikamwambia lengo    nikamwambia baba kesho ni j3 twende shule ukanikabidh nifanyw mtihadi .lakin baba hakuafiki I kwenda shule alimwachia Mamdogo jukumu hilo asubui yake
Nikajiandaa vizuri na nguo zangu za shule nikawa tayari. Kisha nikamwambia Mamdogo kitayari twende. Jibu alilo nipa @ hao wanangu wanenda shule wenywe mi nikupeleke we mkubwa mzima Nina wazimu toka usinisumbue@

Nikaogopa kwaunyonge nkamwambia @bas naomba ile barua niendee@akajibu kwa ukali @aaaaa acha kunisumbua jumanne kawabie ume poteza@ kweli bioa mafanikio ya ile barua nikaenda shule
Kweli Shule walikiri kunitambua ila walitaka barua nlotoka nayo arusha   nilirudi nyumbani nikiwa nalia sikua na sim yakumfahamisha mama yalio jiri.    Nikiwa njiani narudi nilijikuta tu natamani niache ahule sasa niwe huru na mambo yangu. Wiki zilikatika bila kwenda shule hakunonekana kunisaidia baba wala mamdogo

Taratiibu nikajikuta naicha shule.  Maishaya pale nyumbani yalini shinda maana nikitukanwa kila Mara nikipo omba chakuala Mara nyingi nilijibiwa @ sijaolewa na wanaume wawili@

Mwisho nikajikuta nayakumbula mapenz ya mama yangu namkumbuka mama yangu natamani nirudi arusha kwamama

Sikh moja usiku nilikorofishana na madogo na akanipika sana kwa kutumia mwiko nilivumilia mwishi nika shindwa nika udaka mwiko nikamwambiaaaa

Mimi simtoto wako na si ndugu yako unanipiga kama nan wako .

Maneno Yale yalimkera sana akanyanyua mwiko tena anipige kichwani nami nioanyanyua mkonooo wangu.......... .

Itaendelea sehem ya 9

Jumamosi, 25 Februari 2017

Mungu wangu hajaniacha 7

Mungu wangu hajaniacha 7

Ilipo ishia 6

nikapikaa ugali mboa zikaivaa nikapakua wa mama nikauweka chini ya meza nasisi.      tukaanza kula wakati tunakula ghafla nikaskia.......

Sasa endelea Shem ya 7

Nikaskia mlango ukigongwa kwanguvu kufungua niyule kijana alo poteza ela yake kaskia nimeipata kaifuata kwakua nilimuogopa nikampa iliopo 455 na maelezo ya kutosha akaridhika na kuondoka si tukaendelea na msosi

Jioni yake mama alipo rudi alistaajabu na kunisifia kua naweza kuwahudumia wadogo zangu hata kama yeye hayupo.    Pia mama aliongeza kua anaandaa safar ya arusha tukamsalimie bibi mzaaa mama
Jumatatu sikuenda shule mama alihangaika kutafuta uhamisho maana alitaka tukakae nikasome kule hatimae j5 ilifika tukapanda tashrif   kwamara yangu yakwanza napanda bas kubwa LA mkoa bas lili kimbia vumbi lilitawala ndani utadhani tulipishana na mifugo lakin no Barbara ndo haikujengwa majira ya SAA kumi jioni tulifika arusha mjini hapo nilimskia mama akiuliza @samahan baba hari za ngaramtoni ya juu ziko wapi@ usijali mamaaa fuata njia hiii ukifika mbele uliza kilombero@ baada ya maelekezo hayo tulitembea mama hakitaka kuuliza tena hivyo tulizungukaa badae tukaona gari ndogo haic nyingi huku kelele za makondakta zikisikika.   Usarivaa wengine ungalimited wengine ngara kila moja alitaja eneo tofauti Mara tukaona gari imeandikwa ngaramtoni ya juu tuka panda tuka kaa     gari ilianza safar gari ilisimama Mara kadhaa watu wakishuka vituo nlivyo kumbuka waloshuka watu ni sakina+kwa idy+ njiangombe+. Hatimae kibaoni hapo tulishuka  na gari ikaondoka  tukachkua bodaboda mbili tukaingia kushoto dakika tano tulishushwa mbele yanyumba ya mabati ilio ezekwa bati chini mpaka juu       hapo walio mjua mama walimpokea tukaingia katika major yanyumba hizo lakin nje karibu na jalalani palikua na bibi amesimama alituona lakin hakusogea pale alipo kama MTU alie kua katika ibada huku aliimba nyimbo ambayo binafs nilijiuliza maswali sikupata majibu muda wote nilikua nikitega skio kwani sauti ya bibi huyo ilikua tam hatimae nika inasa nyimbo aliimba hivi
@ staki madhambi staki madhambi staki madhambi# siiitaaaakiiii dhambiiii napiiiiingaaa dhaaambi taaaaakiii dhambi 'taki madhambi taki madhambi napinga  napiiiiiiingaaaa dhambi

Alirudia sana nyimbo  hiyo

Mwisho nkapata swal lakumuuliza mama

@eti mama yule pale ni kichaaa ee@  mama akanijibu shhhhh
Kugeuka nyuma nikamuona yupo nyuma yangu na chuma kubwa nikaogopaaa

Itaendelea sehem 8

Ijumaa, 17 Februari 2017

Mungu wangu hajaniacha 6

MUNGU WANGU HAJANIACHA 6

Iilipo ishia sehem ya 5

ghafla nika skia chafya nika geuka  nika kutizama usoni nikaskia tena chafya kutoka katika kinywa chako ukaananza na kukoroma hapo watu wooote na madocta wakaanzaaa

Itaendeleaa sehem 6

Kushangaa kwani waliamini tayari ushakuafa    nikajikuta napata ujasisiri wahali ya juu na ghafla nika nyanyuka na kuju tizama @haya mama una bahati sogea sasa@ alisema docta mmoja nami kwa ujasiri nikamjibu@tafadhali niachieni ntawaita @hapo madocta bila kujibu wakondoka
Nilipo kutizama ndipo nika gundu kuna kitu unataka kukitapika lakin kinarudi ndani hapo nika chukua kanga yangu ni kaiviringisha mfano wakamba nikaingisha kinywani mwako hadi kwenye koo nilipo vuta ilitika na mlenda lakin ukiwa na ranging nyeusi kama ya mkaaa nika rudisha tena hapo nikatoa tenalend mweusi wakati huu ulikua watoka kama kamba ilio tumbukia tumboni nilifanya Kai hiyo kwa dakika zaidi ya 20 muda hakuna kicho toka nikaami ghasia zoote zatumboni nsha zitoa.  Kwambali nikaona mwili wako una pata moto nilipo weka mkono kifuani kwako nikagundua mapigo ya moyo tana piga kwa kasi  hapo nikaita @doctaaaaaaaa@sauti haikua kubwa lakin watu walio nisikia walinisaidia kuita muda tu madocta wakafika walipo kuti zama ana kukushishika hapo nikaskia docta akisema @leteni drip LA maji @kauli hiyo ikinipa moyo sana naada ya kutundukiwa drip ya maji docta mmoja akasema kwasauti @jamani kuam bina damu wanaroho mbaya sana ni sawa na wachawi@ kisha akanigeukia mimi nakunambia @mama usimuache mungu wako maana AME kusaidia @nami nikamkijibu   @nikweki docta nakiri namimi kua. MUNGU WANGU HAJA NIACHA. Amekua nami nandio kawa rafiki wakweli kwangu kanipa moyo watu  walipo nikatisha tamaa

Baada ya hapo ulikaa Sikh tatu bila faham hatimae uka pata faham alhamdu lillahi

Mama ali maliza stori kwa upande wake  hapo nikaelew kwanini mi nilikua hospitali
Ila katila kumbu kumbu zangu nilikumbuka sana mda mchache kabla ya hali ile kutokea kua chanzo ni mboga ya mchuzi wanyama nilio imba sasa picha yote ya ubaya wa mama mdogi ilinijia usoni machozi ya litiririka

Mwaka mmoja baadae

Nilikua darasa LA tatu dhiki shida nataabu zilituandama baba hakua na msaada wowote kwetu mama alijihangaikia mwenyewe kwa biasharandogo ndogo sokoni wakati mwingine sikuenda shule nikamsaidia mama biashara niliuza ndizi viazi asubui hatula chochote macha na na na usiku tulijunywa uji pesa ilikua ngumu kupata japo ilikua na thamani maana kipindi hiko ilikua ni awamu ya pili ya utawala wa mwinyi

Nakumbuka sikumosh 

Ikilikua j pili.  Majira ya SAA name mchana nikiwa nyumbani njaa inauma wadogo zangu wamelala kW uchovu was njaa nikaamua kutoka nje na kutembea tembea nikapoita nje katka nyumba moja jirani anako ish nwanafunz mwenzangni nikaona mabox mawili makubwa ya TV yametupwa jalalani nilipo kaza macho   katika box moja lililo kua wazi nikaona karatas nililo his kua ni hela nikasoge nakulichukua naaam ilIkua ni sh 1000 elf moja yakaratasi hapo. Moyo ukaenda mbio nika ichukua sikujiuliza nikaanza mbio had I nyumbani nipo fika nikamkuta mdogo wangu wakiume Amalia nikauliza mini nkaambiw njaa nami kwaujasir nkawaambia @subirini nakuja sasa iv na BONGE LA saprais@hapo nikaondoka hadi katika duka LA shayo shop niaanza kuagiza 


@shayo nipe Unga dona kilo moja sh 75 sabini Nagano NAFTA ya mboga kijiko kimoja 25ishirini na tano mafta ya taa yakuwashia moto ya 30 thelathini kiberiti kimoja sh 15 kumi Natano

Kisha nikalipa nikasigea kibandani kwa mama shayo nako nika nunua dagaa was sh150 mia na hamsini nyanya na vitunguu vya mia 

Hapo jumla nkawa nimetumia sh 295 miambili na tisini na tano nikabakiwa na  sh705 nika lipa deni alokua akidaiwa mama LA sh mia nikabakiwa na 605 nikanunua mkaa was miana hamasini150 ikabaki 455 nikaenda nyumbani nikapikaa ugali mbiga zikaivaa nikapakua was mama nikauweka chini ya meza nas tukaanza kula wakati tunakula ghafla nikaskia...


Itaendelea sehem ya 7

Mungu wangu haja niacha 5

. MUNGU WANGUHAJA NIACHA 5

Ilipo ishia sehemnya 4

mbele yangu ni kamuona jirani wa baba yako nika muuliza @mama neema kime mkuta mwangu@ akanivuta pembeni na kuanza kuniambia

Itaendelea sehem ya 5






Sasa endelea

Mwanao alipo toka shule akaingia ndani sisi hatujui kilicho endelea ndani  muda tu mama yake mdogo alitoka haikupita mda tukaskia MTU ana koroma ndani tukaogopa tulipo ingia tukamkuta Jumanne akitupa miguu na mikono povu lime mjaa mdomoni    sisi tulikua wanawake watupu tuka sh indwa kumsaidia ikabidi tuwaite vijana wakambeba na kumleta hospitali hayo ndo nnay yajua. Alisema mama neema @ hapo nikawaza nini chakufanya nikarudi wodini nikakutizama akili iianijia tu ntoke nkatafute maziwa .wakati natoka mama hamza (mama yako mkubwa yan Dada yangu) nae akaja nikamuagiza naziwa lakini sikuweza kumsubiri nami nkatoka iilikua nikaz kuyapata lakin nika fanikiwa  nikaja haraka na kuku nywesha japo meno yalikua ya me umana lakin nilifanikiwa kuya achanisha hatimae maziwa yakapata nafas yaliingia kama mahi yanavyo ingia mtungini nusu Lita ikaisha hakuna dalili yeyote nakir sikujua kwanini nakupa maziwa na sijui nilitarajia nini ilikua ni roho fulan iko ni sukuma   wakati nime KATA tamaa maana maziwa yameisha bila dalili yetote jicho bado jeupe mapigo yamoyi yamesimama mwili umeka baridi machozi yalikua yakinibubujika kama bomba zamaji wagonjwa na walio ni tizama walisikika maskioni mwangu wakisema @mwachen kachanganyikiwa na mwanae aki thibitisha kua kafa au waiteni ma docta waupeleke mwili mochwari @ hapo nikashtuka nilipo skia mochwari nikaogopa Mara Dada nae akafika na maziwa nlo muagiza nikayachukua bila neno nika kunyweshaa yoote bila kubaki Mara madocta nao wakafika @mama tafadhali huyo kesha kufa hatakiwi kuwapo hapo @ ghalfla nikapata ujasiri hasa nilipo kumbuka kua mafundisho ya din yanasema pale unapo kufa INA maanisha na rizki zako ya dunuani Imeisha bas hata upewe nin hakito pita kinywani ...kumbukumbu hizo zikinifanya niamin mwanagu hajafa mbona maziwa Lita nzima imeingia mwilini mwake inamana bado you hai wakati nataka kusema neno na sijui nilitaka kusema nini mbele ya madocta
ghafla nika skia chafya nika geuka  nika kutizama usoni nikaskia tena chafya kutoka katika kinywa chako ukaananza na kukoroma hapo watu wooote na madocta wakaanzaaa

Itaendeleaa sehem 6

Jumatano, 15 Februari 2017

UFAHAMU +UMOJA WAWA HADHIRI WAKIISLAM TANZANIA

UMOJA WAWAHADHIRIbWAKISLAM TANZANIA
Kwaufupi (UWAKTA)

Nitaasisi yakislam ilio anzishwa na wahadhiri wakiislam watanzania

Ndugu mwislam
Tukirudi nyuma kifikra tuka kumbuka kua asilimia kubwa ya wale mashekh walio tupa mwanga wa kazi hii ya kufanya mihadhara wengi wao washa tangulia mbele za haq
(Allah awarehemu huko waliko)

Kazi ikabaki Nikonini mwa wale walio jifunza zani na sasa
Kazi hii ilifaana sana kutoka ilipo anzishwa mpaka miaka ya 2005

Ambapo kazi hii ilianza kupata misukosuko ya wazi kama kukamatwa kwa wahadhiri na kutiwa ndani kunyimwa vibali na k:

TUKUMBUKE FAIDA ZA MIHADHARA ambayo asili yake ni vitabu vinne (torat zaburi injili na qur.an)

Ilifanya vazi LA kanzu kuheshimiwa mpaka sasa nikawaida kumuona MTU akiwa ofisini na kanzu na kofia

Mtiririko was waislam wanao ritadi kwakuuacha uislam kwa miujiza au msaada pia ulipungua kutokana na na ukweli ulio simamiwa na wahadhiri
Nihayo na mengine mengi ambayo mihadhara ya kiislam ilikua ni sababu ya kufahamika

KUPUNGUA KWA NIHADHARA
YA VITABU VINNE KWASASA

Hii INA sababishwa na mabadiliko ya utendaji wamihadhara hiyo wahadhir wengi sasa kufanya mihadhara inayo wahusu waislam tu kiitikadi hivyo kupungua ufanisi wamihadhara ya vitabu vinne   walimu wamihadhara hiyo kutoweka dunian wakati vijana wano takiwa kujifunza mijadala hiyo wakowa bize a maslahi ya dunia tu

KUTIZAMWA TOFAUTI KWA WAHADHIRI NAWAISLAM

Hali ya zamani na sasa nitofaut kwa wahadhir wakiislam. Zamani wahadhiri walikubalika mbelebya waislam waliitwa mahala wanapo hitajika walichangiwa gharama za uendeshaji mikutani bila lawama waliheshimika mahala walipo onekana  heshma yao ilikuwa kubwa matamko yao yaliheshimiwa na waislam Tanzania. Waliaminiwa nakusikilizwa kila mahala mihadhara ya wahadhiri ilijaa watu kwa matangazo machache tu wakati mwingine matanagazo hayakufanyika lakin watu walijaa viwanjani

LEO HII

Wahadhiri wengi wajazaraulika ispokua wachache. Mihadhara ili iwe na watu wengi matangazo yafanyike sana magari ya pite vipeperushi na na hata vipindi vya redio na TV pia matangazo ya dizainiwe ili ya waguse watu. Wakati zamani walipo sema kutakuana kuhadhara maeneo Fulani wahadhiri fulani watakuepo ili tosha  ni tofauti na sasa   
Imefikia wakati ukijulikana wewe ni mhadhiri nafas msikitini hupewi

Baada yawa hadhiri wanao jitambua kulitizama hili wakagundua

Baadhi ya watu hukurupuka kufanya mihadhara jali hawana elimunayo

Pia watu wanaharibu mazingira ya dini kwa nembi ya uhadhiri

Wengine kukosa kujua kanuni za kazi hiii hivyo kuifanya kimakosa
Pia kutoweka kwa ikhlaswi kwa wahubiri wengi

NDIPO

Wahadhiri wakiislam wakaamua kuanzisha taasisi hii ya (UWAKTA))

Lengo

Ni kurejesha hadhi ya uislam kupitia mihadhara

Kurejesha hadhi ya mihadhara ya kiislam

Kudhibiti wanao haribu dini kwa nembo ya uhadhiri
Kuwadhibiti hata wahadhiri wano haribu kwa  kua na Uhuru ulo pitiliza

Pia kuhakikisha waislam wana pata faida zitokanazo na mihadhara na wahadhiri

Iki lengi lingine LA taasisi hii ni

Kuandaa miradi itakayo saidia kujenga shule na vyuo vyakielimu

Hospitali kwajili ya tiba  zakisheria

Ajira kwa vijana na wazee

Ili kukamilisha hayo

Taasisi ya Umoja
Ikiongozwa na viongozi mahiri

Pamoja na amiir shekh raajabu juma alqushairiya

Ina utaratibu

Wakusajili wahadhiri woote Tanzania na nyadhifa zaobna aina ya harakati zao

Nakutoa vitambulisho kwa wahadhiri hao 

Hii itasaidi kufaham nchi yetu ina wahadhir wangapi

Pia akipata tatizo mmoja wetu kufaham kiurahisi

Na kusaidiana pia

Umoja itashirikiana na taasisi zingine zakiislam kukamilisha malengo


Hii nisehem ya kwanza inayo uhusu Umoja wawahadhir wakiislam Tanzania

Utazidi kupata taarifa zaidi inshaallah

Tafadhali toa maoni yako hapa chini  juu  ya namna ulivyo elewa



Ijumaa, 10 Februari 2017

الاستاذ هد هد(kuhusu VALENTINE DAY) NAUISLAM

. HISTORIA YA SHEREHE ZA SIKU YA VALENTINE

  

   Asili yake ni sherehe ya kipagani iliyoanzia mjini Rome Italy.Ikaingia kuwa ya kidini na sasa imekuwa ikitumika kama ni msimu wa kufanya biashara huria ambapo biashara za vyakula na mapambo ya maua, dhahabu na vyakula kama chakleti huchangamka sana.

  Warumi wa kale walisherehekea siku za tarehe 13,14 na 15 kwa matambiko mbali mbali yenye lengo la kutafuta uzazi kwa jina la siku ya Lupercalia.Wanyama wa kila aina walichinjwa ambapo vijana wa kiume walijitapakaza damu zao na kubeba mikia ya wanyama hao huku wakiwa uchi na kufukuzana na wasichana huku wakiwapiga migongoni kwa lengo na kukuza urutuba wa uzazi.Warumi hao waliamini kuwa muasisi wa mji wa Rome anayeitwa Romulus siku moja alinyonyeshwa na mbwa mwitu na ndipo akawa mwenye hekima na shujaa.

  Ukristo ulipoingia Rome pole pole sherehe hizi ziliingia ndani ya mafundisho ya dini.Kwa mfano yapo masimulizi kwamba Valentine alikuwa ni kasisi (bishop) mnamo mwaka 197 A.D wa mji wa Interamna ujulikanao sasa kama Terni.Kasisi huyo aliuliwa na viongozi wa kijamii baada muda mfupi kutokana na imani yake ya kikristo.Inaaminika alikufa siku ya Februari 14.

  Kisa kingine kinamtaja kasisi mwengine wa mji wa Rome kwa jina la Valentine ambaye naye inaaminika aliuwawa Februari 14.Kosa lake la mwanzo linatajwa kwamba  akiwa jela aliweza kumponya upofu  motto wa afisa gereza ambaye baadaye akafanya mahusiano naye ya kimapenzi.Alikuwa akiandikiana barua naye kwa kutumia damu yake kama wino.Hiyo barua ikiweka saini yake kama  “From your Valentine”.Kisa kingine cha kufungwa kwake inasemekana mtawala wa Rome wa wakati huo Claudius alikuwa amekataza wavulana kuoa ili awe na askari wazuri.Kasisi Valentine aligundulika kufungisha ndoa kwa siri ikabidi akamatwe.

   Mnamo mwaka 496 A.D papa wa wakati huo Gelasius kwa kuvutiwa na wimbi la sherehe za siku ya Valentine akaamua kwamba kila Februari 14 iwe ni siku ya sherehe ya kikristo kwa ajili ya kumuadhimisha St.Valentine.

   Kuifanya Februari 14 kama siku ya wapendanao kulipata nguvu zaidi mwaka 1382 wakati  Richard П wa London alipotangaza uchumba na Anne wa Bohemia.Richard aliandika   “For this was on St. Valentine's Day/ When every fowl cometh there to choose his mate.”.

   Mwaka 1400 A.D mahakama maalum ilifunguliwa  siku ya Valentine kushughulika na kesi mbali za mambo ya mapenzi kuhusiana na wachumba kupigana,kuachana na mateso mengine ya kimapenzi.

 Kufikia mwaka 1601 sherehe za Valentine zilikuwa zimezoeleka sana katika maisha ya kawaida kiasi kwamba  William Shakespeare aliandika katika shairi lake

 “To-morrow is Saint Valentine's day,/All in the morning betime,/And I a maid at your window,/To be your Valentine.”.

 

  

  Utaratibu wa  kutumiana kadi za mapenzi ulianza rasmi mwaka 1847 jijini London wakati shughuli za uchapishaji ziliporahisika.Mwaka 1929  kwa mara nyengine sherehe za Valentine zilileta janga kubwa pale magenge matano  jijini Chicago,Marekani  yalipopigana na kuuana kwa risasi  kuhusiana na mambo ya mapenzi.

    Katikati ya ya miaka ya 1980 makampuni  ya madini na biashara nyenginezo  yalianza kuziteka nyara sherehe za Valentine kwa  kuhamasisha  watu kununua bidhaa zao.

 

     Kutokana na historia hii itaonekana kwamba  sherehe zaValentine Day  hazina uhusiano wowote na uislamu.  Allaah سبحانه وتعالى   anasema:

((وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الإِسْلاَمِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ))

((Na anayetafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasirika)) [Al-'Imraan:85]

 Mtume  صلى الله عليه وآله وسلمametuambia kuwa kutakua na makundi katika ummah wake ambao watawafuata maadui wa Allaah سبحانه وتعالى  katika desturi na mila zao kama ifuatavyo:

((ستتبعون سنن من كان قبلكم شبراً بشبر وذراعاً بذراع حتى لو دخلوا جحر ضب لدخلتموه)) قالوا: أتراهم اليهود والنصارى؟ قال: ((فمن إذن؟)) البخاري ومسلم

((Mtafuata nyendo za wale waliokuja kabla yenu hatua kwa hatua mpaka itafika hadi wakiingia katika shimo la kenge, na nyinyi mtaingia pia)) Wakasema (Maswahaba): Ewe Mtume! Je, unamaanisha Mayahudi na Manaswara? Akasema: ((Hivyo nani basi mwengine?)) Al-Bukhariy na Muslim

Jumatano, 8 Februari 2017

UMOJA WA WAHADHIRI WAKIISLAM TANZANIA (UWAKTA)

. . السلام عليكم ورحمة الله وبركاته

Umoja wawahadhiri wakiislam tanzania
(UWAKTA)

Una waalika waislam wote katika kongamano la kumbu kumbu na dua juu ya ma shujaa wana harakati wa da.wa na tukio la mwembe chai  lililo ibua historia  kubwa katika harakati za dini tukufu ya uislam nchini

Lengo la kongamano hilo

Ni kuwakumbuka mashujaa walio husika katika tukio lamwembe chai nakuwaombea dua mashekh wetu walio tangulia mbele za haq   

Pia kuzungumzia qadhia ya mashekh na wanaharakani walioko matesoni magerezani na kwingineko

Shime alayku wailam  tuhudhurie kwawingi

Kongamano lita fanyila
Tare 12 mwezi wa 2 mwaka huu 2017
Itakua siku ya juma pili. Litafanyikia
Msikiti wa mwembe chai TIC

Wageni kutokanchi za jirani wataanza kupokelewa j mos

Pia wahadhir wakubwa wahapa nchini  watakuwepo 
Na uongozi mzima wa Umoja wawahadhiri wakiislam Tanzania (uwakta)

Nyooote mna karibishwa


Share na wengine wapate taarifa hii sambaza katika mitandao ya kijamii

Ijumaa, 27 Januari 2017

Mwanafunz mchawi 7

Mwanafunz mchawi 7

Ilipo ishia

.....DOREEN alimkubalia Eddy kuwa mpenzi wake lakini alimweleza kuwa kuna sharti ambalo Eddy lazima alifuate ndipo awe nae.Dorice hakutaka kukubali kirahisi kumwachia Doreen kuwa na Eddy hivyo alipanga kulipiza ili Doreen asije kumsahau.Mwalimu John alipigwa na mkewe mpaka akapoteza fahamu ambapo mkewe alichanganyikiwa sana baada ya kumwamsha bila mafanikio....

Endelea.....

...MWALIMU JOHN alikuwa kimya pale kitini akiwa hana fahamu yoyote, mkewe akazidi kuchanganyikiwa sana kwani alihisi tayari mumewe ameaga dunia.

"Jamani mume wangu amka bado nakupenda! Nisamehe Mimi John wangu!" Alizidi kulia mke wa mwalimu John kwa huzuni na majuto makali. Alijiona mjinga sana kwa kujichukulia maamuzi mkononi bila hata kumdadisi vizuri.

Simanzi ilimtanda mwanamke yule bila kujua la kufanya, machozi yalichuruzika kama mito miwili usoni kwake kwani ndio kwanza ndoa yao ilikuwa changa kabisa tangu waoane miezi mitano iliyopita sasa iweje John aage mapema kiasi hicho? Mkewe aliufikiria upweke ambao angekabiliana nao Siku za usoni. Huzuni ikamzidia.

Mwalimu John akiwa bado ameyafumba macho yake akahisi yumo kwenye usingizi mzito sana lakini alikisikia vyema kilio cha mkewe.

Alitamani aamke ili amtulize mkewe lakini mwili ulikuwa kama umegandishwa na sumaku. Hakuweza hata kutikisika, ghafla akahisi upepo mkali sana ndani ya nyumba yake alipotazama ukutani akakutana na sura ya kutisha sana.

Huku ikifuka moshi mdomoni, macho mekundu kama damu na kichwani yalichomoza mapembe mawili marefu. John aliogogopa sana kwani tangu azaliwe hakuwahi kukutana na kiumbe wa ajabu na wakutisha namna ile. Alitamani azinduke usingizini lakini hakuweza, hivyo alibaki akitetemeka.

Ghafla kiumbe yule akabadilika na kuwa sura ya msichana mrembo sana. Mwalimu John akabaki kinywa wazi akistaajabu ya Mussa. Alipotazama vizuri aligundua ni Doreen , akashtuka sana.Doreen alimtazama mwalimu John kwa dharau sana kisha akaachia kicheko kikali sana.

"Mimi ni Doreen Mbwana! Daima usinichezee maana sichezewi kirahisi.. Unataka kuniendea Malawi we? Hahahahah umechelewa sana John, nina nguvu kuliko unavofikiria"

Doreen akamsogelea John, na kutoa kucha zake ndefu nyembamba kama msumari kisha akamgusa mdomo John."Umeniita Nimekuja! Sasa utaipata fresh...! Hahahahahahahhh" alisema Doreen kisha akatoweka . John alihema kwa nguvu sana huku woga ukiwa umemtawala kupita kiasi kwani maneno ya Doreen yalimtisha.

Mke wa Mwalimu John alizidi kulia baada ya kuona mumewe haamki kwa muda mrefu. Kelele Za kilio chake ziliwafikia majirani ambao walikuja kwa wingi kushuhudia kilichotokea. Bila hodi majirani hao walitiririka kama utitiri nyumbani kwa mwalimu John.

"Kuna nini jirani?" Aliuliza Mzee mmoja aliyejulikana kama Makorokocho.

"Hata sielewi mume wangu kapatwa na nini jamani...sielewi mimi" mke wa John alizidisha kilio.

"Kwani imekuaje?"

"Msogelee umwangalie maana mimi sielewi.. Namwita haamki.."

"Mh!" Aliguna Mzee Makorokocho huku akimsogelea mwalimu John.

Akamtikisatikisa John akamwita lakini John hakuitika, Ingawa John alisikia kila kitu kinachoendelea ila hakuweza kuamka.

"Mh! Mama pole sana huyu tayari ametangulia mbele za haki..."

"Ati mini?"

"Ndo ivo mama chamsingi tuwapigie ndugu zake simu, taratibu za mazishi zifanywe!"

"Hapana! Mume wangu hajafa! Iweje John afe mbele yangu.. Aaah we Mungu we!!" Mke wa Mwalimu John alilia kwa uchungu sana.

Ndugu wa mwalimu John wakapigiwa simu kupewa taarifa za msiba, taratibu za mazishi zikaanza kufanywa.

                                        *******

Dorice alipotoka bwenini kwao akaongoza moja kwa moja mpaka bweni la Mapambano ambalo ndilo alilokuwa akiishi Eddy, alitembea kama mwendawazimu mpaka alipotia timu katika bweni hill bila kujali ni bweni la wavulana pekee. Dorice aliongoza mpaka kitanda cha Eddy ambapo alimkuta Eddy akiwa na wenzake watatu. Na alikuwa akiwasimulia juu ya uhusiano wake mpya na Doreen.

"Habari zenu" alisalimia Dorice akiwa amevimba kama kiboko aliyekasirishwa. Eddy hakujibu isipokuwa wale rafiki sake.

"Umefuata nini hapa we mpuuzi?"

"Nimekufuata wewe nataka nijue kama unanipenda mimi au Doreen?"

"Hivi we mwanamke unawazimu we? Nikupende wewe kama nani? Doreen ndo mpenzi wangu, nampenda sana."

"Kweli!?"

"Ndio tena niondokee hapa, unanitia kinyaa!" Eddy alimsukuma Dorice kwanguvu Dorice akaanguka chini na kujigongesha kichwa kwenye kitanda.

"Eddy usifanye ivo bhana utamuumiza mwenzio" alisema rafiki mmoja wa Eddy kwani alimuonea huruma sana Dorice.

"Achana nae mpumbavu huyo"

"Lakini kumbuka mlikotoka"

"Achana na mimi kama unampenda si umchukue!"

Maneno Yale yaliziidi kumuumiza Dorice, aliinuka pale chini akajifuta vumbi maana bweni lilikuwa na vumbi kupita kiasi.

"Sawa Eddy! Daima kumbuka sio kila king'aacho ni dhahabu... Utanikumbuka!" Alisema Dorice kwa huzuni na kutoka.

"Akukumbuke nani wewe? We boya tu huna lolote" Eddy aliropoka maneno hayo huku akiwashangaza rafiki zake kwani daima hawakujua kama Eddy angemchukia Dorice kiasi kile kutokana na mapenzi yao yalivokuwa.

"Ama kweli watu wanabadilika..!" Alisema rafiki take Eddy na kuondoka zake.

Dorice aliondoka zake mpaka bwenini kwao, akachukua begi lake dogo na kuweka vitu vyake muhimu. Isipokuwa nguo za shule na madaftari, baada ya kupaki vizuri akachukua kanga akaivaa baada ya kutoa nguo kisha akaenda bafuni kuoga.

Alipooga na kujiandaa vizuri alikaa kitandani kwake huku kila Mara akitazama SAA yake ya mkononi ambayo alipewa na Eddy enzi za mapenzi yao. Ilikuwa SAA nzuri ya Dhahabu."Ikifika SAA kumi na mbili jioni lazima nitoroke ... Siwezi kubaki hapa!" Aliwaza Dorice akiwa kitandani kwake.

Muda huchelewa sana pale unapousubiri ndivyo ilivokuwa kwa Dorice. Muda ulichelewa lakini ukafika, kigiza kilipoanza tu akachukua begi lake na kutoka bwenini. Hakuvaa nguo za shule hivyo haikuwa rahisi kugundua kama ni mwanafunzi wa pale. Taratibu akazipiga hatua ili atoroke shuleni pale.

Licha ya kwamba alisumbuliwa na maswali ya wanafunzi wenzake ila hakujali ingawa aliwapa majibu ya uongo yanayoridhisha.

Shule ya mabango ilikuwa imezingirwa na miti mingi hivyo akapita katikati ya miti hiyo ili asioneakane kirahisi. Alipokuwa anaendelea kutembea ghafla akaona kitu mbele yake akashtuka.

                                        ********

Jioni ile tulivu Eddy na Doreen walikutana kwenye mti mmoja mzuri na tulivu. Walikuwa wamekumbatiana kimahaba huku wakipeana denda za kutosha.

"Baby nakupenda sana" alisema Eddy

"Nakupenda pia ila..."

"Ila nini mpenzi?"

"Sharti la kuwa na mimi ni kwamba hutuwezi kufanya mapenzi..." Alisema Doreen.

" eh! Kwanini?"

"Tukifanya hivyo kuna kitu kitatokea kwako?"

"Mh Doreen! Mbona sikuelewi, tutaishije kama wapenzi?"

"Nivumilie tu... Ila bado nina bikra"

"Nataka niitoe bikra yako Doreen please!"

" huwezi kufanya mapenzi na mimi, pia kuna sharti lingine mbali na hilo..."

"Bby hapa siwezi kuwa na wewe bila kufanya mapenzi, siwezi! Halafu pia siwezi kukuacha au huniamini?"

Alisema Eddy akiwa amezidiwa na hamu ya mapenzi na ilikuwa kazi ngumu sana kwake kujizuia....

Itaendelea ......

Mwanafunz mchawi 6

.mwana funz mchawi 6

Ilipo ishia

Eddy alimwacha Dorice Solemba, akilia na moyo nje ya darasa. Na alipoingia darasani Eddy alifuatwa na Doreen kwenye kiti chake, na alitaka kumwambia kitu muhimu....

Endelea...

Doreen alizidi kujilegeza sana kwa Eddy ili amteke kimawazo na kiakili sawasawa. Alirembua macho kama aliyekula kungu huku akimtazama Eddy.. Hakika kwa urembo aliokuwa nao Doreen na vituko alivofanya alizidi kuziteka hisia za Eddy haswa. 

Mtoto wa kiume alijikuta anaishiwa pozi, uvumilivu ukamshinda akajikuta anakohoa kidogo ili asafishe koo na kuweza kusema la moyoni.
 

"Eddy!" Doreen aliita kwa sauti ya mvuto sana.

"Naam"

"niambie basi.."

"ah!.. Doreen kama nilivosema awali wewe in mzuri sana hivyo basi .... nataka uwe mpenzi wangu.. please! naomba unielewe!" Eddy aliongea kwa sauti ya chini ili majirani wasiweze kusikia.

"Eddy! we ni shemeji yangu siwezi kumsaliti rafiki yangu Dorice!" Doreen alijifanya kukataa ingawa moyoni mwake alifurahia ushindi wa kumpata Eddy ilhali warembo wore shuleni pale waliikosa nafasi ile isipokuwa Dorice.

"Doreen! plz naomba nikubalie nakupenda sana "

"Na Dorice je?"

"habari za Dorice achana nazo me nimeachana nae, nakupenda wewe"

"mi sitaki Eddy!" sauti aliyoitoa Doreen ilionesha kabisa alikuwa anataka Ila alivunga tu.

"Nikubalie Dori.. nakupenda Doreen.. usinitese!" Eddy alisema huku machozi yakimlengalenga kwani hakutaka kumkosa Doreen. Ama kweli dawa za Doreen alizotafuna kabla ya kumfuata Eddy zilifanya kazi vizuri sana.

"Okey! nakubali kuwa na wewe!"

"Oh my God kweli Doreen unanipenda? asante sana!" Eddy aliachia tabasamu mwanana na alitamani hata kumkumbatia Ila aliogopa kufanya vile kwani walikuwa darasani.

"Nakupenda Eddy Ila kuna sharti moja muhimu inabidi ufate ili uwe na Mimi..."

"sharti gani tena?" Eddy alishtuka

"upo tayari?"

"ehm.. ah ndio coz I love u.. ntafanya"

"good.. nafurahi sana"

"Niambie basi mpenzi.." alisema Eddy akitabasamu.

"usijali nitakuambia baadae..."

Alisema Doreen huku akiinuka kitini na kuondoka zake. Eddy alikuwa na furaha sana hakuweza hata kusoma zaidi ya kumfikiria Doreen na kila Mara aliachia tabasamu.

Ilikuwa ni mchana majira ya SAA nane na nusu ambapo kengele iligongwa katika shule ya sekondari Mabango ambapo iliwaataarifu wanafunzi wote kuwa muda wa vipindi umekwisha na ni muda wa kupata chakula cha mchana.

Lakini haikuwa hivyo kwani wanafunzi walitakiwa waende mstarini ambapo Habari za kusikitisha sana zilipenya mioyoni mwa wanafunzi wote wa shule ile.

"Mkuu wa shule mama Dayana Mbeshi ameaga dunia Leo asubuhi kwa kifo cha ghafla kilichompata ofisini kwake..pia walimu wawili wana hali mbaya na wamefikishwa hospitalini kwa matibabu!" ilikuwa sauti ya masikitiko sana kutoka kwa Mwalimu Gallus iliyoonesha simanzi nzito sana aliyokuwa nayo.

Mwalimu huyo alishusha pumzi ndefu sana na kuendelea " Maombi yenu in muhimu sana kwa walimu wenu ambao wapo hospitali... na..." mwalimu Gallus alishindwa kuendelea kuzungumza kwani machozi yalikosa adabu yakashuka kwa kasi hivyo akaamua kuondoka eneo lile.

Wanafunzi wote waliondoka lakini mwishoni alibaki Eddy alitembea taratibu huku picha ya msichana katili anayejifanya mwema, Doreen ikizidi kumjia akilini mwake na kumfanya aisahau kabisa njaa aliokuwa nayo. Njia nzima alkuwa akizungumza peke yake kama mwehu mpaka alipofika bwenini.
 

"Ah Doreen! ni msichana mzuri sana! siamini kama amekuwa wangu..!" Aliwaza Eddy huku akiachia tabasamu kisha akabadili nguo na kujitupa kitandani. 

Alionekana kutoguswa kabisa na msiba wa mwalimu mkuu kwani tayari alikuwa amechanganyikiwa na Doreen. Hakumkumbuka tena Dorice ambaye kila Mara alimuahidi kutomsaliti kwa namna yoyote.

*******

Dorice alikuwa amekaa kitandani kwake huku machozi yakitiririka mashavuni mwake. Weupe wa ngozi ya USO wake ulibadilika na kuwa mwekundu kutokana na kulia kwa muda mrefu, hakuamini kama Eddy angemtenda kiasi kiasi kwani siku zote aliamini Eddy ndiye MTU pekee wa kumuamini, aliamini kama Eddy ndio furaha pekee ya moyo wake iweje Leo amtupe kama taka ya msafiri ndani  ya basi pale airushapo kupitia dirisha bila kujua itakapotua? Alimuona Eddy kama mnyama katili asiyekuwa na moyo wa utu.

Marafiki zake Dorice walizidi kumbembeleza atulie bila mafanikio yoyote.

"Kwa alichonifanyia Doreen, siwezi kumwacha kilahisi tu... lazima nimfanyie kitu..." Alijiapiza Dorice
 

" Ni lazima atajuta mpaka kifo chake... hatokaa anisahau kwa ntakachomfanyia.. lazima aelewe kuwa Mimi ni Dorice mtoto wa Kinyaturu sinyang'anywi tonge mdomoni kwa urahisi!" Alizidi kujiapiza Dorice akiwa amejifunika blanket mpaka usoni. Lakini baada ya muda mfupi Dorice aliinuka kitandani pale na kujifuta machozi kisha akapiga hatua za haraka kuelekea nje.

********

Mke wa Mwalimu John amuijia Juu Mumewe akitaka kujua suruali ile imetoka wapi. Lakini mwalimu John hakutaka kuweka wazi kile kilichomkumba shuleni.. alitaka iwe siri yake mpaka atakapofanikiwa kwenda Malawi kutafuta waganga wakumroga aliyemfanyia uchuro.
 

"John! umefumaniwa huko sio?" alifoka mke wa John

"usipaniki mke wangu tulia.. sijafumaniwa mim!" alijitetea mwalimu John bila mafanikio na wakati huo tayari mkewe alishaanza kumtandika makofi mumewe na alipoona haitoshi akanyanyua upawa na kumtandika nao Mwalimu John kichwani.
 

Ghafla John akanyong'onyea na kutulia kimya kitini bila kutikisika..

"John! John!" aliita mke wa mwlm John bila mafanikio John hakuweza kuitikia.

"Mime wangu... John wangu" alizidi kuita lakinu John alikuwa kimya, mkewe alichanganyikiwa sana.............

Itaendelea ......

Mwanafunz mchawi 5

.mwanafunz mchawi 5

Ilipo ishia

hivi we demu unajisoma??" alisema Eddy kwa ukali. maneno hayo yalimshtua sana Dorice.
"Eddy! sijakuelewa!"
" unajisoma kweli? hivi kwanza unajua majamaa wanakucheka kwa sababu gani?" maneno ya Eddy yalimfanya Dorice .....
 

SEHEMU YA 5
...DORICE alimtazama Eddy kwa mshangao wa hali ya juu kwani tangu walipoanza mahusiano hakuwahi kumuona akiwa na chuki dhidi yake kwa kiasi kile. Dorice alikosa ujasiri wa kuzungumza chochote kwa wakati ule kwani alihisi viungo vyake vyote vinakosa nguvu. Akabaki ameduwaa kama zuzu mbele ya Eddy.
"we Dorice nimekuuliza unajua wanakucheka nini darasani?" aliuliza Eddy kwa ukali.
"Sijui" alijibu Dorice kwa huzuni
" Sasa kama hujui wanakucheka jinsi ulivyomchafu, hebu jiangalie hizo kamasi ulizojipaka kama mtoto asiyejua hata kutembea, pili hiyo yako chafu, na tatu...." kabla Eddy hajamaliza Dorice alishtuka sana kusikia vile kwani alipofika darasani asubuhi alikuwa msafi kama ilivyokuwa kawaida yake.
"Eddy umesemaje?!" aliuliza Dorice kwa mshangao. Na wakati huo Doreen alikuwa alikuwa amejificha nyuma ya darasa karibu na waliposimama akina Dorice, na aliweza kusikia kila kitu kinachozungumzwa. Alisikiliza kwa umakini sana huku akiyafurahia majibu ya Eddy Kwa Dorice.
" Hujanisikia? tena ukome kunifuatilia, usahau kama nilishakuwa mpenzi wako , unifute akilini mwako, sikupendi?" alisema Eddy akiwa amenuna kama aliyekula ndimu.
"unasemaje Eddy! hebu rudia nisikie"
"Sikutaki , sikupendi na sikuhitaji!" alisema Eddy huku akiondoka
"Eddy! Eddy! nimekukosea nini mpenzi wangu?"
"Achana na Mimi Dorice! huna hadhi ya kuwa na mimi , demu mwenyewe huna hata mvuto!" alisema Eddy na kusonya. Kisha akaenda zake darasani.
Alimwacha Dorice kwenye bahari ya simanzi na machozi yasiyoweza kuzuilika. Alilia kwa uchungu kama MTU aliyefiwa na MTU muhimu, lakini kilio hicho cha Dorice kilikuwa shangwe na furaha kwa Doreen. Alijiona kama mshindi kwa kufanikiwa kulivuruga penzi la Eddy na Dorice bila hata huruma kwani wawili hao walipendana sana na walikuwa na malengo makubwa katika maisha ikiwa ni pamoja na kufunga ndoa pindi watakapotimiza malengo yao.

Doreen alicheka kwa dharau kisha akaondoka zake na kwenda darasani, ambapo alimfuata Eddy pale alipokuwa amekaa.
Eddy alimkaribisha Doreen kwa tabasamu mwanana na macho ya matamanio.
"Mambo Eddy handsome" alisema Doreen kwa sauti ya utulivu iliyomkuna vyema Eddy hadi akakosa ujasiri wa kuongea.
"Eddy mbona huitikii salam yangu?"
"Niko poa... vipi wewe mtoto mzuri"
"mh! nani mzuri Eddy?" Doreen alijifanya kuona aibu. Na kwakuwa darasa lilikuwa na kelele nyingi walipata mwanya wa kuzungumza zaidi.
"mzuri wewe hapo mtoto wa kitanga!"
"Acha hizo Eddy! mzuri no Dorice!"
"Eh! usinitajie huo uchafu"
"mh! uchafu tena? "
"ndio... Doreen bora umekuja hapa kukaa.. nina kitu muhimu sana nataka nikwambie"
"mh! kitu gani Eddy?" aliuliza Doreen huku akirembua jicho lake kubwa zuri kwa madaha.

***
Karatasi lile lenye ujumbe mzito lilitua mikononi mwa mtaaluma wa shule, kwa haraka macho yake yalitua kwenye maandishi yaliyoandikwa kwenye karatasi ile lakini maandishi yalikuwa tofauti na yale aliyoyasoma makamu mkuu wa shule, yalisomeka hivi "TOENI HUO MZOGA LA SIVYO MTAISHA"
Mwalimu yule wa taaluma aliogopa sana akashindwa kuongea akampasia karatasi mwalimu wa nidhamu lakini alipochukua tu ujumbe ulibadilika ukasomeka hivi "WEWE UTAMFUATA MAKAMU WA SHULE MAANA ULINITESA"

"ati nin? nilikutesa wapi Mimi? hata sio Mimi ujumbe haunihusu!" mwalimu wa nidhamu aliongea kwa kuchanganyikiwa na kwa hofu kubwa. Akampasia karatasi mwalimu mwingine lakini pindi anapompa mwalimu yule karatasi ujumbe ulibadilika tena "MNANISUMBUA! UKIMPA MWINGINE UJUMBE HUU UNAKUFA MUDA HUU.. NA UKINIWEKA CHINI UTAONA CHA MTEMA KUNI"
Mwalimu yule aliyefahamika kwa jina la mwalimu Jason alivuta pumzi ndefu sana huku mapigo ya moyo yakibadili mwendokasi na kwenda haraka sana. Akabaki ameshikilia karatasi lile mkononi mwake bila kuelewa cha kufanya .
WAlimu waliokuwa wanasubiri kusoma karatasi lile walimfokea mwalimu Jason kwa kuendelea kulishikilia karatasi lile kabla ya wao kulisoma.
"we vipi tupe na sisi tusome!"
"shukuru hamjasoma"
"Nini? usituzingue tupe hilo karatasi tusome bhana"
walimu walizidi kung'ang'ania karatasi lile lakini mwalimu Jason hakuwa tayari kuwapa ili kulinda uhai wake. Mwalimu Jasoni akaangalia upenyo ili aweze kutoka ofisini mle kisha akatoka mbio akiwa ameshikilia karatasi lake.

Mwalimu wa taaluma akaangalia pale chini ulipokuwepo mzoga wa Mbeshi akaona jinsi funza wallivyokuwa wakitapakaa kwa kasi.
"Jamani tumtoeni huyu tutakufa wote"alisema mtaaluma.
wakati huo makamu mkuu wa shule alikuwa akitokwa na haja ndogo kutokana na hofu ya kifo kama alivyoambiwa kwenye ujumbe.

***

Mwalimu John alionekana mwenye sana pindi aliporudi nyumbani kutokana na kitendo cha kudhalilika shuleni. Mkewe aliingia sebuleni na kumsogelea mwalimu John
"mume wangu vipi?"
"kwani vipi mke wangu?"
"nakuona hauna raha kulikoni?"
"nipo sawa... Ila... nina safari..!"
"kha! safari ya wapi tena mume wangu?"
"Naenda Malawi... Leo!"
"Malawi? kufanya nini mume wangu?"
"usijali kuna kazi muhimu naenda kufanya.."
"mbona ghafla sana? halafu mbona umevaa suruali ambayo si yako? au umefumaniwa?"
Aliuliza mke wa mwalimu john huku akimkagua mume wake kwa kupitisha macho kuanzia juu had I chin... ...

Itaendelea ......

Wanafunzi mchawi 4

Mwana funzi mchawi 4

Ilipo ishia sehem ya 3

)

 Dorice akamsogelea Doreen kwa hatua chache.
"Jana ulikuwa na nani pale kwenye mti usiku?" aliuliza Doreen huku akiuchezesha mguu wake wa kulia chini na mkono mmoja akiwa kaushika kiunoni.
"hukuniona au?" aliuliza Dorice kwa mshangao.
"jibu swali!"
"OK! nilikuwa na Eddy"
"nani yako Eddy?" 
"Doreen unanitisha ujue?"
"kha! nakutisha nina mapembe hapa? nijibu swali langu"
"Eddy mpenzi wangu!"
"nimekupata sasa... tangu lini Eddy mpenzi wako hujui kama ni mume wangu mtarajiwa?"
"Ati nini....... Eddy ni. .."
 

 Sehemu ya nne

.... DORICE alishtuka sana kusikia Eddy ni mume mtarajiwa wa Doreen hakutaka kuyaamini maneno ya Doreen hata kidogo.

"hivi we Doreen umechanganyikiwa au upo timamu?" Dorice aliropoka kwa hasira.

 

" nikuulize wewe, hivi upo timamu au mwendawazimu unavomng'ang'ania mpenzi wangu Eddy? mpaka watu wanakushangaa! inaniuma sana Dorice usione nimekukaushia!" Alisema Doreen kwa msisitizo wa hali ya juu. Maneno ambayo yalizidi kumuumiza Dorice mpaka machozi yakaanza kumlengalenga machoni mwake. Alimtazama Doreen kwa hasira huku akiumanisha meno yake kwa ghadhabu, moyoni alitamani kumuadhibu vikali Doreen kwa kutaka kulitia DOA penzi lake na Eddy lakini hakuwa na uwezo huo.

 

"Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako! sitaki kuamini kama rafiki yangu kipenzi Leo unageuka adui yangu!"alisema Dorice huku akipiga hatua na kutaka kuondoka mbele ya mbaya wake. Lakini ghafla Doreen akamvuta shati na kumrudisha pale alipokuwa amesimama.

 

"we vipi? hebu niache niondoke?"

"nitakuachaje sasa wakati unaniharibia penzi langu na Eddy?" alisema Doreen kwa kujiamini sana huku akibetua midomo yake kwa dharau utadhani Eddy ni mpenzi wake kweli kumbe hakuna lolote ni tamaa na wivu vinavyomsumbua.

 

"umefanikiwa kuniumiza moyo wangu Doreen mpaka najuta kukufahamu.... haya Fanya lolote utakalo tena ili kunyang'anya haki yangu ya mapenzi... do it!" alisema Dorice kwa kwikwi kwani alishindwa kuzuia kilio chake kutokana na maumivu makali aliyoyapata moyoni mwake kwani maneno ya Doreen yalikuwa kama mkuki wenye sumu katikati ya moyo wake.

 

"hata Mimi najuta kukutana na mwanaharamu wewe, Kwa usalama wako achana na Eddy... sijui unanielewa?"

 

Dorice hakusema chochote zaidi ya kumkazia macho ya hasira Doreen, bila kujua kuwa kutazamana na Doreen kwa wakati ule ilikuwa ni kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe kwani Doreen aliitumia nafasi ile vizuri sana. 

Alijibadilisha macho yakawa ya kutisha sana kisha kila alipomtazama Dorice machoni alimhamishia vitu Fulani visivyoeleweka, kisha baada ya hapo Doreen alimsogelea Dorice na kumzodoa lakini haikuwa kumzodoa kwa kawaida Bali alimpaka vitu kama kamasi USO mzima na kumfanya Dorice atie kinyaa sana bila yeye mwenyewe kujitambua.

 

"hebu niondokee hapa mpuuzi wewe na ushukuru Mungu sijakufanya kitu kibaya" alisema Doreen baada ya kuhakikisha amekamilisha kazi yake aliyokusudia kwani sio siri Doreen alipania kumpata Eddy kwa vyovyote vile.

 

Dorice alitembea taratibu na kumfuata Eddy darasani huku akiendelea kulia.

Itaendelea........

Mwanafunz mchawi 3

MWANAFUNZI MCHAWI 3

Ilipo ishia sehem ya 2

. .Baada ya kukamilisha yote hayo Madam Mbeshi akasogeza kiti chake karibu na meza kisha akaketi halafu akaanza kusogeza vitu vilivyokuwepo mezani pale lakini ghafla akakutana na karatasi chafuchafu mezani kwake lakini ilikuwa na maandishi.

Akashtuka kidogo halafu akaichukua ili aisome vizuri. Mwalimu Mbeshi hakutaka kuamini kile alichokiona, akataharuki kwa hofu na mshangao....

 Sehemu ya tatu

...Mwalimu Mbeshi aliposoma ujumbe ule kutoka kwenye ile karatasi chafuchafu alizidi kuchanganyikiwa sana, mapigo ya moyo yalimwenda kasi kama gari iliyokata breki ikiwa mlimani. akarudia tena na tena ujumbe ule uliosomeka "POLE SANA MWALIMU KWA MASWAHIBU YALIYOKUKUTA SHULENI KWAKO.. MIMI DOREEN MBWANA NIMEFANYA YOTE HAYO! PIA MUDA WA KIFO CHAKO U KARIBU KWANI UMESOMA UJUMBE WA MWANAFUNZI MCHAWI"

Jasho jembamba lilimtiririka mwanamama yule bila kuelewa afanye nini. Akataka kulitupa chini karatasi lile lakini ghafla akaona karatasi lile limebadilika ghafla, sio karatasi tena bali kitu kama ngozi ya binadamu iliyooza sana huku ikitoa harufu mbaya ikiwa imeambatana na funza wengi wakitembea tembea. 

Madam Mbeshi alihisi kinyaa sana huku woga ukiwa umemtawala kupita kiasi kwani katika maisha yake hakuwahi kushuhudia mauzauza ya namna ile hats Mara moja. Alitamani akimbie lakini miguu ilikuwa imeganda kama msumari kwenye sumaku. 

Mbeshi alihangaika sana na wale funza mkononi mwake kwani walizidi kumpanda mwilini kwa kasi na kumtia ghasia. Machozi yalimtoka mwalimu mbeshi lakini kila tone lililodondoka lilikuwa damu. 

Hofu ikamzidia sana, hakuwa na tumaini la kusalimika tena kwani kwa hatua aliyofikia ilitisha sana. Na yote hayo yalisababishwa na binti Doreen Mbwana.

Ghafla mlango wa ofisi ya mwalimu Mbeshi uligongwa lakini Mbeshi hakuwa hata na uwezo wa kuzungumza chochote. Mlango uligongwa sana lakini Mbeshi hakuweza kuufungua ingawa alitamani yule aliyegonga mlango aingie ili iwe ahueni kwake lakini ilishindikana. 

Kila aliponyanyua kinywa ulimi ulikuwa mzito na hakuweza kuzungumza chochote ikambidi atulie kimya akiugulia mateso yake yalimzonga ndani ya muda mfupi tu.

"Masikini Mimi  inamaana ndo nakufa? masikini familia yangu ambayo Mimi ndio tegemezi! ee Mungu nisaidie!"aliwaza Mbeshi huku machozi ya damu yakizidi kutiririka.

                                    

 *******

Walimu hawakujua lolote linaloendelea ofisini kwa mkuu wa shule hivyo waliendelea na ratiba za shule kama kawaida.

Wanafunzi walienda mstarini, wakajipanga vizuri kwa mistari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha NNE.

Mwalimu John ambaye alikuwa zamu kwa wiki ile alikuwa amesimama mbele kwaajili ya matangazo lakini ghafla akasikia wanafunzi wachache wakimzomea. 

Moyo wake ukamlipuka akautazama msitu ule wa watu lakini macho yake yakatua moja kwa moja kwa wanafunzi wa kidato cha NNE, akamwona Dorice na nyuma yake alikuwa amesimama Doreen akiwa anacheka sana kwa sauti ya dharau na kiburi. Hasira za mwalimu John zikampanda akaumanisha meno yake kwa ghadhabu

"Doreen! hebu njoo mbele haraka sana!" alisema mwalimu John kwa sauti kali iliyojaa ghadhabu lakini bila aibu Doreen aliachia sonyo Kali iliyowafanya wanafunzi wote wamgeukie yeye na kumwangalia kwa mshangao.
"We mtoto! unanisonya Mimi? una adabu kweli?"
"Kwanini nisikudharau wakati we mwenyewe umejidharau?" alisema Doreen kwa kujiamini sana.
"Ati nini?"alishangaa mwalim John kwani hakutegemea kama Doreen angekuwa jeuri kiasi kile. 
"We unavokuja kazini hivo unategemea nini?"
"Vipi" alishtuka Mwalimu John.
"Unakuja kazini bila kuvaa suruali ili iweje!?" 
"Una wazimu wewe nani hajavaa suruali?"

"Jiangalie huko chini kama umevaa suruali;" alisema Doreen na kumfanya Mwalimu John ajiangalie vizuri akagundua kweli alikuwa hajavaa suruali. 

Alishtuka kupita kiasi wanafunzi wote wakamtazama Mwalimu John kwa mshangao kwani kweli alikuwa hajavaa suruali. Baadhi ya wanafunzi walicheka, lakini baadhi walimhuzunikia wakiamini kuna mchezo kachezewa na si bure.

Mwalimu John akakimbia mstarini pale Kama mwendawazimu na kwenda ofisini lakini kila alipojaribu kuvuta kumbukumbu zake alikumbuka kuwa alipotoka nyumbani alikuwa amevaa suruali tena suruali yake mpya ya kadeti.

 "Sasa imeenda wapi?? mnh hapana kuna MTU kanichezea lazima nimweendee Malawi hata Nigeria ntafika Ila siwezi kumwacha" aliwaza Mwalimu John na wakati huo waiimu wenzake waliamua kwenda nyumbani na kumletea suruali nyingine ili aweze kuondoka Nayo.

 

********

Baada ya wanafunzi kuingia darasani kwao. Doreen aliamua kumuita Dorice nje kwani alikuwa na mazungumzo nae mazito sana.Dorice alionekana kuogopa kwani wito ule haukuwa wakawaida, akasimama kwa hofu akimtazama Doreen 

"vipi mbona unaogopa, unaogopa nini?" alisema Doreen.
"siogopi kitu!"alijibu Dorice 
"basi nisogelee" 
Dorice akamsogelea Doreen kwa hatua chache.
"Jana ulikuwa na nani pale kwenye mti usiku?" aliuliza Doreen huku akiuchezesha mguu wake wa kulia chini na mkono mmoja akiwa kaushika kiunoni.
"hukuniona au?" aliuliza Dorice kwa mshangao.
"jibu swali!"
"OK! nilikuwa na Eddy"
"nani yako Eddy?" 
"Doreen unanitisha ujue?"
"kha! nakutisha nina mapembe hapa? nijibu swali langu"
"Eddy mpenzi wangu!"
"nimekupata sasa... tangu lini Eddy mpenzi wako hujui kama ni mume wangu mtarajiwa?"
"Ati nini....... Eddy ni. .."

 

Itaendelea ......

Mwanfunzi mchawi 2


MWANAFUNZ MCHAWI
2

Ilipo ishia sehem ya kwanza

.....Wakati wanafunzi wengine wakiwalilia wenzao Doreen alikuwa amejitenga peke yake nyuma ya bweni alilokuwa anakaa na kulikuwa na Giza totoro. Alikuwa uchi wa mnyama huku mikono yake ikiwa imeshikilia vitu fulani huku akitamka maneno ambayo aliyaelewa mwenyewe....  

Sehemu ya pili

...DOREEN aliendelea kuongea maneno aliyoyajua mwenyewe akiwa bado yupo uchi wa mnyama nyuma ya bweni alilokuwa anaishi. 

Ghafla kipande kidogo cha karatasi nyeupe kikashuka mikononi mwake bila kuonekana kilikotokea. Doreen alicheka kwa sauti Kali ya kutisha sana kisha akalikazia macho karatasi lile, matone ya damu yaliangukia kwenye karatasi lile kutoka kwenye macho yaliyotisha sana ya Doreen kwani yalikuwa na rangi nyeusi halafu yakawa na umbile kama macho ya paka.
 

"Nenda mpaka ofisi ya mkuu wa shule ukamalize kazi." alisema Doreen akiwa amelinyanyua karatasi like kwa mkono wake wa kushoto. Karatasi likatoweka mkononi mwake na kupepea kwa nguvu kama vile limerushwa na upepo mkali.

Doreen alipomaliza kazi hiyo akasimama vizuri kama mwanajeshi aliyejipanga kwaajili ya gwaride kisha akainamisha kichwa chake chini akapotea eneo lile.

**********

Wanafunzi wa shule ya sekondari Mabango walikuwa wanahofu kubwa sana kila wakikaa walifikiria kifo tu. Usingizi haukuwajia hata Mara moja hivyo usiku waliketi makundi makundi wakizungumza hili na lile.

Wakati huo Dorice rafiki kipenzi wa Doreen alikuwa amejitenga pembeni akizungumza na mpenzi wake aitwaye Eddy, kijana mtanashati, mzuri, mpole na akili nyingi sana darasani.Wasichana wengi shuleni pale walitamani kuwa nae lakini bahati ilimwangukia Dorice pekee.
 

"Eddy unajua naogopa sana.." ilikuwa sauti ya Dorice akiwa amemkumbatia Eddy kwani kigiza kile cha usiku kiliwaficha wasionekane hivyo wakajiachia.

"unaogopa nini Dorice mpenzi wangu?"

"Naogopa kufa!" binti Huyo wa kinyaturu, mrembo aliyeumbika aliongea kwa sauti ya madeko sana.

"siku zote nakwambia Dorice kama Mungu alipanga huwezi kupangua , mwanadamu asikutishe kwa lolote. Huyu anayeua wenzake naye IPO Siku yake tu!"

"Najua baby Ila hali inatisha"

"Tuzidi kuomba Mungu mpenzi wangu kila unalofanya muombe Mungu."

"Nakupenda "

"Nakupenda pia"

Wakati Eddy na Dorice wakiendelea kuzungumza maneno hayo, Doreen alikuwa nyuma ya mti waliosimama hivyo alisikia kila kitu. 

Roho ilimuuma sana kwani tangu alipohamia shuleni hapo alitokea kumpenda sana Eddy na alitamaniawe mpenzi wake kwani ndio chaguo la moyo wake lakini Dorice alikuwa kikwazo. .

Suala hilo lilimuumiza Doreen ndani kwa ndani. Akainuka pale kwenye mti na kupita katikati yao, akamwita Dorice pembeni.

"Dorice.. mimi nawahi kulala Ila kesho unione!"

"nikuone?"

"ndio kwani hujaelewa?" alijibu Doreen kwa ukali jambo lililomwachia maswali mengi Dorice. Lakini Doreen hakujali kitu akaondoka zake Ila moyoni alipanga jambo zito la kumfanyia Dorice siku ya kesho yake.

*********

Ilikuwa asubuhi tulivu sana majira ya saa kumi na mbili na nusu asubuhi ambapo mwalimu Dayana Mbeshi aliwahi ofisini kwake kama ilivyokuwa kawaida yake. 

Majengo ya ofisi yalimkaribisha kwa shangwe naye akaitikia ukaribisho huo kwa kufungua ofisi yake kisha akasogeza mapazia ya dirishani ili kuruhusu mwangaza wa jua changa uweze kupenyeza vizuri. 

Baada ya kukamilisha yote hayo Madam Mbeshi akasogeza kiti chake karibu na meza kisha akaketi halafu akaanza kusogeza vitu vilivyokuwepo mezani pale lakini ghafla akakutana na karatasi chafuchafu mezani kwake lakini ilikuwa na maandishi. 

Akashtuka kidogo halafu akaichukua ili aisome vizuri. Mwalimu Mbeshi hakutaka kuamini kile alichokiona, akataharuki kwa hofu na mshangao...............

Itaendelea....

Mwana funzi mchawi 1

. Wakati twa fuatilia simulizi ya mke wa face boock tufuatilie na hii ili tusikae kimya sana
👇👇👇👇👇👇
MWANAFUNZ MCHAWI


SEHEMU YA KWANZA
Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa sana kwani hali ya shule hiyo ilizidi kutisha sana hasa baada ya kutokea kwa vifo vya wanafunzi kumi na tano mfululizo ndani ya wiki moja tu. Tena vifo vya ghafla tu.

Mkuu wa shule mama Dayana Mbeshi alikuwa kwenye wakati mgumu sana kubaini chanzo cha tatizo lakini bado hakupata majibu.Mara ghafla mlango wa ofisi ukagongwa, akaingia mwalimu wa malezi wa shule hiyo akiwa na USO wa huzuni sana hali iliyomshtua sana mkuu wa shule

"vipi kulikoni?"
"hali mbaya mkuu.. wanafunzi wawili wamefariki tena bwenini" mwalimu wa malezi alizungumza kwa huzuni iliyochanganyika na hofu.
"what? mmh! sio bure.. kuna kitu hapa..!" alisikika mwalimu Mbeshi huku akiinamisha kichwa chake chini na kukiegemeza kwenye kiganja chake.

******
Wanafunzi wengi walionekana kuwa na hofu sana baada ya vifo visivotarajiwa kuzidi kutokea katika shule yao. Kila MTU aliwaza sana juu ya vifo vile huku kila mmoja akihisi zamu yake IPO karibu. Nyuso za huzuni ndizo zilizotawala kwa wanafunzi wote si wa kike wala wa kiume. Hakuna aliyetamani kulala wala kukaa mbali na kundi la watu kwani hofu iliwajaa mioyoni mwao, hawakuweza hata kusoma.

Lakini hali ilikuwa tofauti sana kwa binti Doreen ambaye alikuwa na wiki tu toka ahamie shuleni hapo. Alionekana kutoogopa chochote wala kuguswa na misiba ya wanafunzi wenzake. Kila Mara alionekana akiwa na furaha, hali hii iliwatisha wanafunzi wenzake na kuwafanya wawe na maswali mengi juu yake.

Doreen alikuwa msichana mrembo, sura yake nyembamba iliyopambwa na macho makubwa legevu, kope ndefu nyeusi tii, pua nyembamba iliyochongoka vyema na midomo mizuri yenye mvuto wa aina yake vilimfanya awe tishio kila kona kwani alikuwa ni mzuri kupindukia lakini Tabia ilikuwa tofauti na uzuri wake.

Wakati wanafunzi wengine wakiwalilia wenzao Doreen alikuwa amejitenga peke take nyuma ya bweni alilokuwa anakaa na kulikuwa na Giza totoro. Alikuwa uchi wa mnyama huku mikono yake ikiwa imeshikilia vitu fulani huku akitamka maneno ambayo aliyaelewa mwenyewe.... 

Itaendelea.......

Jumamosi, 21 Januari 2017

Mungu wangu hajaniacha 4

. MUNGU WANGU HAJA NIACHA
Sehem ya 4

Www.mrhudhud.blogspot.com

Ilikua ni usiku palipo kucha asubui nikashktuka hapo siku muona yeyote kat ya watu nnao wajua nikashuka kitandani nakusimama taratibu nikaanza kusogelea mlango wa wodi huku wagonjwa wengine kama watatu hivi wakiwa vitandani mwao nilipo toka nje ya word nikajihis mwepes Sana kama karatasi maana sikuweza kutembea Bali ni kukimbia tu nika zunguka maeneo kadhaa Mara nikaskia sauti ikiita@jumanne mwanangu@

Niliitambua ni Sauti ya mama nikageuka nakuitika @naaam@mama akani kumbatia kW mda kidogo huku machozi ya kimtoka akatamka kwa sauti ya chini akisema@MUNGU WANGU HAJA NIACHA@  kisha akaniuliza @unajiskiaje mwanagu@nikamjibu@vizuri mama ila njaa INA niuma@ Bas MWANANGU twende ndani uka sbiri nkakitaftie chakula@ hapo tuabrudi wodin na mama kila alipo taka kutoka kuni taftia chakula bas watu walio fahamian waliingia na kunijulia hali mda simref mamdogo make wa baba (mama yangu wakambo) akaingia na chakula  na mi sikua na kumbuka chochote kumhusu yeye  nikatizama chakula alicho leta ni wali na maharage. Kweli aliniweza maana ndo chaKula nnacho kipenda nikila bila kubakisha  nilikaa hospitality siku tatu nikiwa na jitambua siku ya NNE tuliruhusiwa nakuondoka nje ya hospitali mama MZAZ na mama wa kambo waliongea namama akataka niongozane nae had nyumbani tulipo fika nyumbani niliwakuta wa dogo zangu wawili nuru na yasini wakanipa pole hapo nika pata swali LA kumuuliza mama @hiv mama mimi hospitali nilipelekwa Lin na nilikua naumwa nin@swali hili lili mfanya mama kwa dakika kadha kisha  akaniambia @pumzika mwangu ule alaf jion ntakwambia@ ilipo fika jioni nili mkumbusha mama juu ya swali langu hapo akaanza kuni ambia
@mimi nikiwa nyumbani mama yako mdogo alikuja hakuingia ndani akanambia jumanne anaumwa nika muuliza nini tatizo akanambia homa bas nika mwambia ntaenda kumuona yeye akaondoka nikaanza kunawa nikijua waumwa homa ya kawaida wakati na nawa akaja bibi mama hamis wa mitunduruni yeye alikuja na hasira @mama Jumanne una Fanya nini @nikamjibu nimeambiwa Jumanne anaumwa na nawa niende sokoni nipitie na huko@bibi akajibubkwa hasira@naona ume mchoka kwanobmpumbavu nibora roho ya mwanao ikatie mikononi mwako wahi ospitali mwanao anakufa @ hapo Nili changanyikiwa nika jikuta mtandio wa kichwani nine jifunga kiunoni sia wahi tembea kichwa wazi lakin sikuwaza hilo nikaondoka mbio na kumuacha bib nikiwa nijiani watu walinishangaa lakin sijujali maneno ya bibi mama hamis yalijirudia kichwani mwangu huku moyoni nikijisemea  mwangu Jumanne ndo kafa au nin tatizo hapo nika jikuta natamka kwasauti @MUNGU WANGU NAKUOMBA USINIACHE @ dakika 20 nilifika hospitali sikuwaza ntakupataje nikasikia sautu ikiniita @mama Jumanne nihuku@ watu walio nifaham waliniita na kunielekeza word hadi kitanda uliopo hapo nili kukuta umesha kaka maaa macho ya megeuka na kua meupe wabibi waliopo hapo waliniusi @funga utumbo@hapo niliaminibkua ushakufa  sikujua machozi yalikua wapi hayakutoka sijui nilitamani nini mbele yangu ni kamuona jirani wa baba yako nika muuliza @mama neema kime mkuta mwangu@ akanivuta pembeni na kuanza kuniambia

Itaendelea sehem ya 5

Kwa ushauri au maoni

Email
Alhabiibhudhud@gmail.com

Au tembelea blog yangu

Www.mrhudhud.blogspot.com