. MUNGU WANGU HAJA NIACHA 8
Ilipo ishia
@mama yule ni kichaa ee@mama akanambia shhhhhh. Kugeuka nikamuona yupo nyuma yangu na chuma kubwa. Nikaogopa .. Akaliweka chuma hilo mlangoni kuzuia mlangu usijifunge kisha wakaanza kuslamiana na mama kwa furaha hatimae tuka tambulishwa kua ndio bibi mzaa mama huyo tukajuzwa na ndugu wengine pia
Tulianza maisha ya arusha kwa shida mama alianza kwa biashara ndogo ndogo hatimae akazoea akapata kazi katka kampuni moja inayo Lima kahawa iliitwa MANYARA campany.. Kampuni hiyo ilijenga nyumba nyingi zakuishi wafanaya kazi mama alifanikiwa kupata kazi katika kampuni hiyo na nyumba ya kuiahi ya viumba viwili na sebule nami nikafanikiwa kupata shule
Kwaupande wangu mwanzo nlipata shida maana shule ilikua mbali sana kias cha kutembea saanzima ndo nifike shule nilikereka kwani singinda nilitembea dakika tano nakuingia shuleni. Lakin sikua na budi nikaendelea na shule maisha ya arusha yalikua na nafuu kidogo hatukulipa kodi na kazi zilikua za uhakikka kwani kaha ndio ilikua msimuwake ilikua wafanya kazi woote mkifika mashambani mnakatiwa miraba kwajili ya kuvuna kahawa zilo iva na kuacha mbichi. Kadri una vyo vuna ndio kipato kinaongezeka. Kwani ilihesabiwa kila ujazo was sado moja unalipwa kia NNE hapo sasa uwezo wako mama yangu aliweza mpka sado 6 na siku nilio enda kumsaidia had I sado 11 zilifika maisha ya liendelea
Mwaka mmoja baadae.
Nikiwa darasa LA NNE ahule ya msingi ndurumeti ninayo soma arusha walinizuia kufanya mtihani wa kuhama darasa kutoka lanne kwenda la tano wakasema. Wakati nakuja nilichukuliwa cheti chmda sio chamoja kwamoja hivyo nirudi singida katka shule yangu ya awali nikafanye mtihani.
Taarifa hizo mama alizipokea kwa unyonge sana hakua na lakufanya kwani singida Alisha hama kabisa nilikaa Siku kadhaa bila kwenda shule hatimae mama akapata wazo na kuniandalia safari nirudi singida niende hadi kwa baba
Tulikua kama watu tulo sahau yalo tokea hatuku ya waza kabisa .
Safari iliwadia nikiwa na barua yangu nlotoka NATO arusha nikaiahika madhubuti na safari ikaanza kwa tashrifu hadi singida
Singida tena kwamama wakambo
Nilifika singida jioni nakumkuta Mamdogo make wabab akiwa nyumbani alinipokea vizuri tukapiga stori za arusha akanipa chakula nikala akaniomba barua nlokuja nayo aihifadhi nikampa jioni baa alirudi nikamwambia lengo nikamwambia baba kesho ni j3 twende shule ukanikabidh nifanyw mtihadi .lakin baba hakuafiki I kwenda shule alimwachia Mamdogo jukumu hilo asubui yake
Nikajiandaa vizuri na nguo zangu za shule nikawa tayari. Kisha nikamwambia Mamdogo kitayari twende. Jibu alilo nipa @ hao wanangu wanenda shule wenywe mi nikupeleke we mkubwa mzima Nina wazimu toka usinisumbue@
Nikaogopa kwaunyonge nkamwambia @bas naomba ile barua niendee@akajibu kwa ukali @aaaaa acha kunisumbua jumanne kawabie ume poteza@ kweli bioa mafanikio ya ile barua nikaenda shule
Kweli Shule walikiri kunitambua ila walitaka barua nlotoka nayo arusha nilirudi nyumbani nikiwa nalia sikua na sim yakumfahamisha mama yalio jiri. Nikiwa njiani narudi nilijikuta tu natamani niache ahule sasa niwe huru na mambo yangu. Wiki zilikatika bila kwenda shule hakunonekana kunisaidia baba wala mamdogo
Taratiibu nikajikuta naicha shule. Maishaya pale nyumbani yalini shinda maana nikitukanwa kila Mara nikipo omba chakuala Mara nyingi nilijibiwa @ sijaolewa na wanaume wawili@
Mwisho nikajikuta nayakumbula mapenz ya mama yangu namkumbuka mama yangu natamani nirudi arusha kwamama
Sikh moja usiku nilikorofishana na madogo na akanipika sana kwa kutumia mwiko nilivumilia mwishi nika shindwa nika udaka mwiko nikamwambiaaaa
Mimi simtoto wako na si ndugu yako unanipiga kama nan wako .
Maneno Yale yalimkera sana akanyanyua mwiko tena anipige kichwani nami nioanyanyua mkonooo wangu.......... .
Itaendelea sehem ya 9