Jumapili, 15 Januari 2017

HADITH YAKU SISIMUA (MUNGUWANGU HAJANIACHA )

. SIMULIZI ya KUSISIMUA

MUNGU WANGU HAJANIACHA
Sehem ya kwanza

By dr hud hud

Alhabiibhudhud@gmail.com

Ikiwa ni nyakati za jioni nime kaa na wadogo zangu wawili nuru na yasini  wakati mama yangu pia akiwa amekaa  Katika kigoda kidogo  alisema @leo nataka niqasimulie iidogo maisha yangu mie na baba yenu*
Mi nilifurahi sana kwani nilitamani kuskia historia yanyuma ya baba yangu maana toka nakua nakupat akili wakati huo nikiwa darasa LA pili shule yamsingi unyankindi singida mjin
Nime jikuta nikiiishi na mama nahali baba akiwa anaish kwingine na na mke mwingine hivyo nilitaman kujua kwanini Mimi siishi na baba yangu kama walivyo wengine.  Nikatega  skio kwa makin kusikiliza na mama bila kusita alianza
@ baba yenu wakati ana nioa mimi alikua  na mke mwingine hivyo Mimi nikawa mke mdogo kweli baba yenu alikua muadilfu na hakuelemea upande mmoja alitulea sote kwa Umoja na mshkamano mwanzoni tulipendana na kutembeleana kama MTU na mke mwenzake japo maisha hayakua mazuri lakini tulijali ITU kuliko kitu kazi ya naba yenu ilikua ni umachinga wa viombo haikuleta mafanikio ila toka mimi nilipo olewa tu mafanikio yalianza kujitokeza nilimshauri mume wangu kuachana na kazi ya kutembea kwani Siku ipenda ili mchosha sana na badala yake afungue japo duka LA kuuza viombo hivyo badala ya kutembea kweli ushauri ulimfaa akafungua kaduka ladogo na taratiibu mafanikio yalianza hali hio ili mfanya anikumbuke kila wakati akinitaja kwasifa njema kila wakati heshma yangu na utii vilimfanya kua na amni mda wote wakati kwamke mkubwa haya hakuanayo muda simref toka nimeolewa nkapata ujauzito mumewangu akazidiaha upendo kwangu hali ambayo  ili muudh mmkubwa japo alikua anawatoto wawili lakin hakutaka Mimi nipendwe vile miezi Tisa ikatimia nika jifungua MTOTO wakiume ambae ni wewe Jumanne.. Mama aliongea kwa kuni point mimi nilifurahi kupata hadithi ya kuzaliwa kwangu nkatega tena akio na kuendelea kumsikiliza mama
@niilijifungua salama lakini mwangu aliumwa kila mara na alipo fikisha umri wa miaka miwili. Nilianza kupata yaabu ya kukuuguza nidhahir kua mke mwenzangu aliniendea kwa waganga ili nimpoteze MWANANGU lakin hakufanikiw japo niliteseka sana kila jioni ilipo ingia Nili muuguza MWANANGU hadi alipo fikisha umri wamiaka minne nikapata ujauzito mwingine nakujifungua MTOTO wakiume tena nikaamuita ramadhani Mara hii mke mwwnzangu alinichukia dhahie na  kunitamkia wazi Mara kwamara kua @we kazana kuzaa lakini hapa utaondoka tu
.
Maneno yaliniuma lakini sikukata tamaa  kwahuyu tena niliteseka zaidi  mwanagu alimwa kila Mara zaid yahapo ilipo fika usiku wa manane niliskia saut zaajabu zikisema @ukitaka maisha ya amani tupe mwanao
Sauti hizi zili nitisha kwakweli sikulala ndipo Sikumoja usiku mwangu akiwa   na umr wamwaka mmoja usiku nikiwa nimelala niliota watu walio valia manguo meupe wamekuja na kumchukua mwangu huku mi nikipiga kelele mwacheni mwangu mar nkashtuka usinguzin na kumkuta mwanagu analia nka muwahi na kumpa ziwa nikawa kimya kwa dakika chache Mara nkahis mwangu kesha lala maan haku akinyonya tena hali iio nitisha ni kua mwangu hatakama yuko usingizin maada ziwa langu liko mdomoni alinyonya kwa kushtukiza laki wakti huu alikua kimya nikaamka nae nakuwasha taa ndipo nikaanza Julia kwa uchungu baada ya kuhakikisha kua mwangu amekufaa

Story ilikatizwa na machozi wadogozangu walikua wamesha sinzia lakin Mimi nililia hata mama pia hadi nikaachana nastor ikabidi nianze kumbembeleza mama Kwanzaa.......

Itaendelea.........sehem ya pili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni